Bikira Maria Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu!
Katika Maadhimisho ya Sherehe ya Bikira Maria kupalizwa mbinguni mwili na roho, Baba
Mtakatifu Francisko anamwomba Bikira Maria Mama wa Mungu kuwaombea wakosefu pamoja
na kuwaongoza kwenye njia inayoelekea mbinguni.