2013-08-09 10:34:29

Raia wawili wa Uingereza wamwigiwa tindikali Zanzibar


Serikali ya Uingereza imeonesha hali ya wasi wasi baada ya raia wake wawili waliokuwa wanafanya kazi ya kujitolea Kisiwani Zanzibar kumwagiwa tindikali na hivyo kuwasababishia majeraha makubwa siku ya Alhamisi, tarehe 8 Agosti 2013.

Hili ni tukio la pili katika kipindi cha hivi karibuni, kwani Shekhe Fadhili Suleiman, Mwezi Novemba 2012 alishambuliwa na watu wasiojulikana hadi leo hii kwa kumwagiwa tindikali.







All the contents on this site are copyrighted ©.