2013-08-09 12:19:29

Binadamu ni dhaifu na maskini, lakini anabeba ndani mwake amana kubwa!


Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anasema kwamba, binadamu wote ni kama chungu cha udongo, ni dhaifu na maskini, lakini ndani mwao wanabeba amana kubwa!







All the contents on this site are copyrighted ©.