Yesu anaendelea kukutana na waamini kwa njia ya Sakramenti za Kanisa
Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anasema
kwamba, kwa ujio wake kati ya watu, Yesu amewakaribia wote na anaendelea kukutana
nao; hata leo hii anakutana na waamini kwa njia ya Sakramenti za Kanisa.