Baadhi ya Makleri waliochaguliwa kutoa Katekesi wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Vijana
Duniani 2013
Katekesi ya kina ni kati ya mambo muhimu sana wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Vijana
Duniani. Katekesi hii itatolewa kwa lugha ya Kiitaliani, Kiingereza, Kifaransa, Kihispania,
Kipolandi na Kireno. Pia kuna baadhi ya Maaskofu walioandaliwa kutoa Katekesi hizi
kwa lugha maalum, kwa bahati mbaya, Lugha ya Kiswahili, haikupata nafasi katika Maadhimisho
ya Mwaka huu, pengine, miaka ijayo si ajabu tukiona Kiswahili kikiibuka! Tuendelee
kuwa na matumaini.
Ifuatayo ni orodha ya Makleri waliochaguliwa kutoa Katekesi
kwa lugha ya Kiingereza.
Most Rev. Kenneth RICHARDS -Bishop of Saint John's-Basseterre
- Antigua & Barbuda
Most Rev. Mark COLERIDGE - Archbishop of Brisbane – Australia
Most
Rev. Anthony FISHER - Bishop of Parramatta – Australia
Most Rev. Daniel Eugene
HURLEY -Bishop of Darwin – Australia
H.E. Cardinal George PELL - Archbishop
of Sydney – Australia
Most Rev. Lawrence Subrato HOWLADER, CSC - Auxiliary
Bishop of Chittagong –Bangladesh
Most Rev. Richard William SMITH - Archbishop
of Edmonton – Canada
Most Rev. Joel BAYLON - Bishop of Legazpi -The Philippines
Most
Rev. John SHERRINGTON - Auxiliary Bishop of Westminster – England
Most Rev.
Charles Gabriel PALMER-BUCKLE - Archbishop of Accra –Ghana
Most Rev. Vincent
Michael CONCESSAO - Archbishop Emeritus of Delhi – India
Most Rev. Donal McKEOWN
- Auxiliary Bishop of Down and Connor – Ireland
Most Rev. Charles J. SCICLUNA
- Auxiliary Bishop of Malta – Malta
Most Rev. John Ebebe AYAH -Bishop of Ogoja
– Nigeria
Most Rev. Hugh GILBERT -Bishop of Aberdeen – Scotland
H.E.
Cardinal Wilfred Fox NAPIER - Archbishop of Durban - South Africa
Most Rev.
Samuel AQUILA - Archbishop of Denver - United States of America
Most Rev. Edward
J. BURNS -Bishop of Juneau – United States of America
Most Rev. Frank CAGGIANO
- Auxiliary Bishop of Brooklyn - United States of America
Most Rev. Charles
J. CHAPUT - Archbishop of Philadelphia - United States of America
H.E. Cardinal
Timothy M. DOLAN - Archbishop of New York, President of the United States
Conference
of Catholic Bishops - United States of America Most Rev. Gustavo GARCÍA-SILLER,
M.Sp.S - Archbishop of San Antonio - United States of America
Most Rev. Jerome
LISTECKI - Archbishop of Milwaukee - United States of America
H.E. Cardinal
Sean Patrick O'MALLEY, OFM Cap - Archbishop of Boston - United States of America