Askofu mkuu Leo Boccardi ateuliwa kuwa ni Balozi Mpya wa Vatican nchini Iran
Baba Mtakatifu Francisko amemteua Askofu mkuu Leo Boccardi kuwa Balozi Mpya wa Vatican
nchini Iran. Hadi kuteuliwa, Askofu mkuu Boccardi alikuwa ni Balozi wa Vatican nchini
Sudan na Eritrea.