Katika Maadhimisho ya Siku kuu ya Watakatifu Petro na Paulo, miamba wa imani, Baba
Mtakatifu Francisko anawaalika watumiaji wa mitandao ya kijamii kujifunza kuachia
yote kwa ajili ya maisha ya Kristo kwa kuongozwa na mantiki ya zawadi na sadaka. Ukiwa
pamoja na Kristo hakuna kinachoweza kupotea!