Padre Mario Lèon Dorado ateuliwa kuwa ni Mwenyekiti wa kitume, Sahara Magharibi
Baba Mtakatifu Francisko amemteua Mheshimiwa Padre Mario Lèon Dorado, O.M.I kuwa Mwenyekiti
wa kitume wa Sahara Magharibi. Kabla ya uteuzi huu, Padre Dorado alikuwa ni msimamizi
wa kitume wa Sahara Magharibi.