Katika Maadhimisho ya Mwaka wa Imani, Baba Mtakatifu Francisko anawauliza watumiaji
wa mitandao ya kijamii, ikiwa kama wako tayari kujitoa bila ya kujibakiza kwa masaa
ishirini na manne kuishi kama Wakristo, wakitoa ushuhuda wa maneno, matendo na muda
wao?