Umaskini na mmong'onyoko wa kimaadili ni matokeo ya ukanimungu!
Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anawauliza
swali la msingi! Je, ni umaskini na mmong'onyoko wa kimaadili kiasi gani unaojitokeza
leo hii kutokana na kumkana Mwenyezi Mungu na badala yake mwanadamu anajiundia miungu
wa uwongo!