Baba MtakatifuFrancisko katika ujumbe wake mwishoni mwa Mwezi Mei, 2013 anawaambia
watumiaji wa mitandao ya kijamii kwamba, historia nzima ya wokovu inaonesha jinsi
ambavyo Mwenyezi Mungu anajitaabisha kumtafuta mwanadamu; anamkirimia upendo na kumpokea
kwa moyo mkunjufu!