Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anawaambia
vijana kwamba, Kanisa linategemea makubwa kutoka kwao, lakini zaidi ukarimu wao. Anawataka
kamwe wasikate tamaa bali waendelee kuwa na tumaini la mambo makuu zaidi.