Askofu mkuu Michael W Banach, ateuliwa kuwa Balozi wa Vatican kwenye Visiwa vya Solomon
Baba Mtakatifu Francisko amemteua Askofu mkuu Michael W. Banach kuwa Balozi mpya wa
Vatican kwenye Visiwa vya Solomon. Anaendelea pia kuwa ni Balozi wa Vatican nchini
Papua New Guinea.