Je, unampatia Mwenyezi Mungu kipaumbele cha kwanza katika maisha yako?
Baba Mtakatifu Francisko anawauliza watumiaji wa mitandao ya kijamii ikiwa kama maisha
yao yamesheheni uwepo wa Mwenyezi Mungu. Je, ni mambo yepi wanayoyapatia kipaumbele
cha kwanza kila siku?