Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anauliza
swali la msingi, Je, kama Wakristo, wamekuwa waaminifu kwa Kristo katika maisha yao
ya kila siku? Je, wana uwezo wa kushuhudia imani yao kwa heshima na ujasiri mkuu?