Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii,
anawaalika kusali kwa ajili ya kuwaombea Wakristo wanaoendelea kukabiliana na madhulumu
ya kidini sehemu mbali mbali za dunia. Anawaombea ili Mwenyezi Mungu awakirimie ujasiri
wa kuendelea kuwa waaminifu.