Home Archivio
2013-04-29 11:16:15
Tazama inavyopendeza kuwaonjesha wengine upendo!
Baba Mtakatifu Francisko anawaalika watumiaji wa mitandao ya kijamii maarufu kama twitter kuangalia jinsi inavyopendeza ikiwa kama kila mmoja wao angeweza kusema: leo nimefanya tendo la upendo kwa ajili ya wengine!
All the contents on this site are copyrighted ©.