Baraza la Kipapa la familia linakanusha uvumi ulioenezwa na baadhi ya vyombo vya habari
kimataifa kwamba, Baba Mtakatifu Francisko anaandaa Waraka kwa ajili ya wanandoa waliotengana
na baadaye kuoa au kuolewa. Baraza la Kipapa la Familia linasema habari hizi hazina
ukweli wowote.