Baba Mtakatifu Francisko kwenye ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii al
maarufu kama twitter anasema kwamba, kila mtu moyoni mwake ana hamu ya kupendwa, kupata
ukweli na kuwa na maisha... Yesu ni utimilifu wa mambo yote haya! Ndugu msomaji kazi
kwako!