Chama cha Kutetea maisha nchini Tanzania , kinachojulikana kwa jina, Hatutanyamaza
kamwe, kimepania kuendeleza kampaeni yake kwa kishindo dhidi ya vizuia mimba, kupitia
mpango wa kuielimisha jamii kuhusu madhara ya kutumia vizuia mimba vinavyotengenzwa
na makampuni mbalimbali. Mkurugenzi wa kampeini hiyo Emil Hagamu anasema,